Up next

Mgosa Myovela_Hakuna kama Mungu wetu.

1 Views· 19 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

Zaburi 124
1 Kama si Bwana aliyekuwa pamoja nasi, Israeli na aseme sasa,

2 Kama si Bwana aliyekuwa pamoja nasi, Wanadamu walipotushambulia.

3 Papo hapo wangalitumeza hai, Hasira yao ilipowaka juu yetu

6 Na ahimidiwe Bwana; Asiyetutoa kuwa mawindo kwa meno yao.

7 Nafsi yetu imeokoka kama ndege Katika mtego wa wawindaji, Mtego umevunjika, nasi tumeokoka.

8 Msaada wetu u katika jina la Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next