Up next

Angel Benard - Nikumbushe Wema Wako (Lyrics/Lyrics Video)

1 ViewsĀ· 28 July 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

šŸŽµ Angel Benard - Nikumbushe Wema Wako (Lyrics)

šŸ”” If you like our content(s), Please click the bell to stay updated

We are East Africa Melody [EA Melody]. east african based music project that focuses on latest music and promoting talents around the world

šŸ“„ Send us your track(s) via our email: eastafricamelody@gmail.com

āš” Nikumbushe wema wako nisije laumu

ā–¶ļø EA Melody:
https://www.instagram.com/eamelody/
https://m.facebook.com/eastafricamelody/
https://twitter.com/eamelody_/

ā–¶ļø Angel Bernard
https://www.instagram.com/angelbenardofficial/
https://www.facebook.com/AngelBenardOfficial/
https://twitter.com/AngelBenard/

šŸŽ¤ Lyrics:

[Verse 1]
Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele
Pale mambo yanapoonekana hayaendiii
Ni ajabu sana namna moyo unahangaika (kutafuta majibu)
Ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka
Yakwamba japokuwa
Mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu
Japokua Mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu, Ahh

Nakumbuka wana wa Israel katika bahari ya shamu
Japo walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi
Kwa nyimbo nyingi waliimba na kumsifu Bwana
Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa yalibadilika mambo
Manung'unikoo yalisimama
Na kusahau muujiza alotenda Bwana Mwanzo aah
Eee Mungu Nisaidieee eee eenhee

[Chorus]
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi

[Verse 2]
Eeeh Ee Mungu nisaidiee
Nisaidieee kukumbuka baba
Yakwamba umenichora kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh
Na mimi umenionaa oooh ooo
Nikumbushe baba yakwamba
Ni wewe umeniponya nilipoumwa

Yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleni
Yakwamba kama ungeniacha hatua moja
Nisingelifika nilipo ooh
Babaumenikung'uta mavumbi
Kung'uta mavumbi mimi na kuniheshimisha

[Chorus]
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi

[Ontro]
Yesu nakutazama, Nakuamini Wewe
Fungua maisha yangu
Nisaidie nisilalamike mbele zako
Katika ali zote nijue upo
Umesema hutaniacha, eh Yahweh


End
___________________________________________

Tags:
#AngelBernard #NikumbusheWemaWako#Lyrics #eamelody #eastafricamelody

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next