Up next

Annoint Amani Ft Bahati bukuku - YE ALISIKIA WAPI ? ( Avoir c'est mauvais Official music Video

6 Views· 28 July 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

#annointamani#bahati#bukuku#

Moyo wa Mwanadam ni fumbo kubwa sana,
Usijaribu kuamua kabra ya kujiridhisha vizur na tarifa au jambo lililo tokea ,

Hata kama unaona kabisa kuna ushahidi wawazi kuwa muhusika kafanya ,
Bas jarbu kuvuka mpka zaidi kwa kutaka kujua je? nia yake ilikuwa ni hiyo au mazingira yalimfanya akakosea ,

Ili usikurupe usiamua mbela ya weng maana penye weng pana meng,
Tulia peke ako na kama utataka mtu akushaur tafuta alie kuzidi umri na maarifa ,
Pia hakikisha huyo mtu ni mzewefu wa hilo lililo kupata ,

Hasira ni mbaya sana katika maamuzi

(Mwanadam akifurah sana anaweza kuahidi vitu vikubwa ambavyo hata hawez kutimiza ,
vilevile mtu akikasirika anaweza akaongea au kufanya vitu vigumu ambavyo badae vinaweza kumuweka pabaya)

Ivyo usiamua Bila Mungu kuhusu utakosea chunguza kwanza usje Hukumu bila kosa )


(MTUNZI NA MWIMBAJI ANNOINT AMANI)

Artist Annoint Amani ft gospel legend Bahati Bukuku


( Language Swahili & French)
Audio A.E.A Tones studio
pro by Meddy+255712621330)
Video;A.E.A quality Video,director by Meddy+255712621330)


Bookngs
email;amananoint@gmail.com
istagram;annointamani
+255767240181 = +255755099942
Dar Es salaam Tanzania)

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next