Up next

MAUTI YA KWANZA.(prt 1)BISHOP SAMUEL MBURU. (C.R.J CHURCH)KAYOLE.

3 Views· 19 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

Ufunuo wa Yohana 20 11
Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.

Ufunuo wa Yohana 20 12
Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa na matendo yao.

Ufunuo wa Yohana 20 13
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.

Ufunuo wa Yohana 20 14
Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next