Up next

Utakatifu sio tabia ya Mungu ni Asili yake. Je, Utakatifu ni kuacha dhambi? - PART 1

0 Views· 28 February 2025
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5
In Sermons

1 Wakorintho 1:30
Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;

Warumi 8:32
Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye?

1 Petro 1:14
Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;

1 Petro 1:15
bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote;

1 Petro 1:16
kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

Yohana 15:3
Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.

/@livingwaterchurchtz

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next