Up next

ASKOFU GAMANYWA ATOA SALAMU ZA SIKU KUU YA PENTEKOSTE

2 Views· 06 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

Kuja kwa Roho Mtakatifu
Wakati ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja. Kukaja ghafla toka mbinguni sauti kama mvumo wa upepo mkali ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi. Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao. Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next