Kutambua Nyakati na Majira (23-04-2017) - Askofu Sylvester Gamanywa
0
0
2 Kutazamwa·
06 Agosti 2023
katika
Mafundisho ya Biblia
Ibada ya Ujazo wa Roho Mtakatifu, kilasiku ya Jumapili hapa hapa BCIC Mbezi Beach, Dar es Salaam. Ibada hii huanza saa 4:30 Asubuhi na Bishop Sylvester Gamanywa ndiye atatoa neno na kisha kutoa huduma ya Ujazo wa Roho Mtakatifu ikiambatana na Maombezi ya Kufunguliwa na Vifungo vya Nguvu za giza.
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa