Up next

Live -KUVUKA VIKWAZO VYA KUKATA TAMAA

2 Views· 10 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

Watu wengi sana leo wamekata tamaa:
 Wengine wamekata tamaa ya kutoendelea na wokovu.
 Wengine wamekata tamaa ya kuolewa tena na kuamua kurudi
duniani.
 Wengine wametafuta watoto muda mrefu wamekata tama na
kuamua kwenda kwa waganga wa kienyeji.
 Wengine wamekata tamaa ya kumsubiria Mungu na kuamua
kujaribu kwa waganga wa kienyeji.
 Wengine wamekata tama na kuamua kufanya matendo ya ajabu na
hata kujiua.

Mch na Mwl. Dr. PETER MITIMINGI. Senior Pastor #WCC & Counseling Psychologist #BLCCC +255 713 18 39 39

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next