次に

MITIMINGI # 138 UNAPOTAFUTA MCHUMBA USIANGALIE KIGEZO KIMOJA TU.

3 ビュー· 10 8月 2023
proshabo
proshabo
5 加入者
5

Walimu wengi wamekuwa wakiwafundisha vijana kwamba wanapoangalia mchumba sahihi wa kuoana naye wazingatie kigezo kimoja tu ndani ya moyo(Rohoni). Lkn ushauri ni kwamba unapotafuta mchumba angalia vigezo vyote unavyoviitaji rohoni na mwilini. Wengine waliangalia kwa vigezo vya maumbo ya mabinti, mwishowe wakaishia kwenye majuto.
Mchungaji na Mwalimu MITIMINGI p. VHM 0713183939

もっと見せる

 0 コメント sort   並び替え


次に