MITIMINGI # 165 JE NI KIVIPI MALEZI YA KUDEKEZA/PERMISIVE PARENTING HUMUATHIRI MTOTO
0
0
2 Kutazamwa·
10 Agosti 2023
katika
Watu na Blogu
Wazazi wengi wamekuwa wakiwalea watoto wao katika malezi ya kudekeza/Kuruhusu bila kujua kuwa wanaaaribu maisha ya watoto. Asilimia kubwa ya wazazi wamekuwa wakiwapa watoto kila kitu watakacho.
Mch na Mwl MITIMINGI p. +255713 18 39 39
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa