Inayofuata

MITIMINGI # 165 JE NI KIVIPI MALEZI YA KUDEKEZA/PERMISIVE PARENTING HUMUATHIRI MTOTO

2 Kutazamwa· 10 Agosti 2023
proshabo
proshabo
5 Wanafuatilia
5
katika Watu na Blogu

Wazazi wengi wamekuwa wakiwalea watoto wao katika malezi ya kudekeza/Kuruhusu bila kujua kuwa wanaaaribu maisha ya watoto. Asilimia kubwa ya wazazi wamekuwa wakiwapa watoto kila kitu watakacho.

Mch na Mwl MITIMINGI p. +255713 18 39 39

Onyesha zaidi

 0 Maoni sort   Pangilia kwa


Inayofuata