MITIMINGI # 203 WAMAMA WA LEO WANATIA HAIBU
0
0
2 Kutazamwa·
10 Agosti 2023
katika
Watu na Blogu
KAZI 12 ALIZOPEWA MWANAMKE KATIKA JAMII, FAMILIA NA KANISA
Wamama wengi wa leo wanatia Haibu kwa Jamii, Shule ya kwanza aliyopewa mwanamke ni kujifundisha yeye mwenyewe. Je wewe ni mtu wa mfano kwa mabinti? vijana wa kiume au jamii? Mavazi ya wamama leo hayana Shuhuda. ( SOMO:- THAMANI YA MWANAMKE)
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. +255 713 18 39 39 Counseling Psychologist
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa