MITIMINGI # 669 MAFANIKIO YA MTU YANAHITAJI NIDHAMU KATIKA FEDHA NA UCHUMI
0
0
4 Kutazamwa·
10 Agosti 2023
katika
Watu na Blogu
Usinunue kitu ambacho kipo nje ya mipango yako, ili ufanikiwe kiuchumi unapaswa kuweka mipango yako ya matumizi. Watu wengi waliofanikiwa kiuchumi walijinyima na kuwekeza zaidi.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC & Counseling Psychologist #BLCC +255 713 18 39 39
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa