Up next

SIKU YA 1 TOBA NA UTAKASO

1 Views· 06 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

kiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. #1Nyakati 7:14

Furahia ndugu maombi haya ya kinabii kumaliza mwaka 2018.
Karibu funga pamoja nasi kwa kadri utakavyoweza.

Mwongo wa maombi nitautoa kila siku hapa saa kumi na moja na nusu majira ya Afrika Mashariki na Kati
Kama hujawahi ku-subscribe basi nakuomba ufanye hivyo leo.
Ubarikiwe.

Pastor Shagihilu
+255758443873 (Calls, Whatsapp, Imo)

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next