рдЕрдЧрд▓рд╛

TENZI NAMBA 56~NI SIKU KUU || FREE BEAT

2 рд╡рд┐рдЪрд╛рд░реЛрдВ┬╖ 01 рд╕рд┐рддрдВрдмрд░ 2023
proshabo
proshabo
5 рдЧреНрд░рд╛рд╣рдХреЛрдВ
5
рдореЗрдВ рд╕рдВрдЧреАрдд

#SUBSCRIBE #LIKE #COMMENT

Contacts Whatsapp +255759683635

Beat By Erick.

LYRICSЁЯСЗЁЯСЗЁЯСЗЁЯСЗЁЯСЗ

1. Ni siku kuu siku ile
Ya kumkiri Mwokozi!
Moyo umejaa tele,
Kunyamaza hauwezi.

Siku kuu! Siku kuu!
Ya kuoshwa dambi zangu kuu!
Hukesha na kuomba tu,
Ananiongoza miguu.
Siku kuu! siku kuu!
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu.

2. Tumekwisha kupatana
Mimi wake, yeye wangu,
Na sasa nitamwandama,
Nikiri neno la Mungu.

3. Moyo tulia kwa Bwana
Kiini cha raha yako,
Huna njia mbili tena;
Yesu ndiye njia yako.

4. Nadhiri yangu ya mbele
Nitaiweka daima,
Hata ije siku ile,
Ya kwonana kwa salama

рдФрд░ рджрд┐рдЦрд╛рдУ

 0 рдЯрд┐рдкреНрдкрдгрд┐рдпрд╛рдБ sort   рдЗрд╕рдХреЗ рдЕрдиреБрд╕рд╛рд░ рдХреНрд░рдордмрджреНрдз рдХрд░реЗрдВ


рдЕрдЧрд▓рд╛