Askofu Kakobe 'amvulia kofia' Rais Magufuli
0
0
3 Lượt xem·
04 Tháng tám 2023
Trong
Bible Teachings
"Haijawahi kutokea kuwa na Rais na Serikali yake ambao wameheshimu viongozi wa dini kama wewe," - Kali ya Askofu Kakobe akieleza namna yeye na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wakiteta jinsi Rais Magufuli anavyoheshimu viongozi wa dini.
Ni katika hafla ya makabidhiano ya Mfumo mpya wa kusimamia uwazi katika mawasiliano ya simu.
Cho xem nhiều hơn
0 Bình luận
sort Sắp xếp theo