下一个

ELIWINJUKA AFUNGUKA SABABU ZA KUNDI LA KIJITONYAMA UPENDO GROUP KUVUNJIKA.

2 意见· 03 八月 2023
proshabo
proshabo
5 订户
5
音乐

Eliwinjuka ni mmoja kati ya waimbaji waliokuwa wanaunda Kundi la Muziki wa Injili Tanzania Kijitonyama Upendo Group lilifahamika sana Hapa Tanzania na nje ya nchi kupitia nyimbo zao kama vile BAMBAM,Leo anafunguka sababu iliyopelekea kundi hilo kuvunjika.
#LiveOnLive

显示更多

 0 注释 sort   排序方式


下一个