ELIWINJUKA AFUNGUKA SABABU ZA KUNDI LA KIJITONYAMA UPENDO GROUP KUVUNJIKA.
0
0
2 Kutazamwa·
03 Agosti 2023
katika
Nyimbo za Injili
Eliwinjuka ni mmoja kati ya waimbaji waliokuwa wanaunda Kundi la Muziki wa Injili Tanzania Kijitonyama Upendo Group lilifahamika sana Hapa Tanzania na nje ya nchi kupitia nyimbo zao kama vile BAMBAM,Leo anafunguka sababu iliyopelekea kundi hilo kuvunjika.
#LiveOnLive
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa