Следующий

Hujuma Dhidi Ya Kampeni za Lissu Arusha, Mungu Azima Ngoma

4 Просмотры· 06 Август 2023
proshabo
proshabo
5 Подписчики
5

Mafarisayo Kama Gamanywa na Wengine wanatakiwa Kujua Kuwa Mungu Hapangiwi wala Hafanyiwi Hila. Hapa tunaona Siku Lissu anafanya Kampeni Arusha ati wakaipeleka Timu ya Simba Icheze na Timu ya Arusha. Wakafanya Kiingilio Bure, Lakini wakabaki na Viti Vitupu, hawakuwa Na Walioenda hata 100 uwanjani. Arusha Yote ilienda Kumsikiliza Lissu. Mafirisayo Viongozi wa Dini Jifunzeni Kwa Ishara.

Показать больше

 0 Комментарии sort   Сортировать по


Следующий