Up next

Kisha Nikaona Kiti Cha Enzi Kwaya Ya Barabara 13

12 Views· 06 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5
In Sermons

Kisha nikaona kiti cha enzi
Kikubwa, cheupe
Na yeye aketiye juu yake

Nikawaona wafu,
Wakubwa kwa wadogo
Wamesimama mbele ya kiti hicho
Wamesimama mbele ya kiti hicho

Na vitabu vikafunguliwa
Na kitabu cha uzima
Na hao wafu wakahukumiwa
Sawasawa na matendo yao

Bahari nayo ikawatoa
Wafu waliokuwa wamo ndani yake
Mauti na kuzimu zikawatoa
Wafu waliokuwa wamo ndani yake

Wakahukumiwa kila mtu
Kwa kadiri ya matendo yake
Wakahukumiwa kila mtu
Kwa kadiri ya matendo yake

Mauti na kuzimu
zikatupwa katika lile ziwa la moto
Hii ndio mauti ya pili
Yaani hilo ziwa la moto

Na iwapo mtu (yeyote) hakuonekana
Ameandikwa (katika) kitabu cha uzima
Alitupiwa katika lile ziwa la moto

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next