Kisha Nikaona Kiti Cha Enzi Kwaya Ya Barabara 13
0
0
16 Kutazamwa·
06 Agosti 2023
katika
Mahubiri
Kisha nikaona kiti cha enzi
Kikubwa, cheupe
Na yeye aketiye juu yake
Nikawaona wafu,
Wakubwa kwa wadogo
Wamesimama mbele ya kiti hicho
Wamesimama mbele ya kiti hicho
Na vitabu vikafunguliwa
Na kitabu cha uzima
Na hao wafu wakahukumiwa
Sawasawa na matendo yao
Bahari nayo ikawatoa
Wafu waliokuwa wamo ndani yake
Mauti na kuzimu zikawatoa
Wafu waliokuwa wamo ndani yake
Wakahukumiwa kila mtu
Kwa kadiri ya matendo yake
Wakahukumiwa kila mtu
Kwa kadiri ya matendo yake
Mauti na kuzimu
zikatupwa katika lile ziwa la moto
Hii ndio mauti ya pili
Yaani hilo ziwa la moto
Na iwapo mtu (yeyote) hakuonekana
Ameandikwa (katika) kitabu cha uzima
Alitupiwa katika lile ziwa la moto
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa