Suivant

Kujazwa Roho Mtakatifu ni kuvikwa mamlaka - Askofu Syvester Gamanywa

1 Vues· 06 Août 2023
proshabo
proshabo
5 Les abonnés
5

Karibu katika Huduma zetu Zitolewazo na BCIC Mbezi Beach, kila siku kuanzia jumatatu hadi ijumaa, utapata huduma ya ushauri wa Kibiblia na Maombezi.

Jumapili kuna ibada ya Kiingereza ambayo huanza saa 1:30 Asubuhi hadi saa 3:30 Asubuhi na kufuatiwa na Ibada kuu ya Kiswahili kuanzania Saa 4:00 Asubuhi hadi saa 7:30 Mchana.

Tanzama ibada live/mubasha kilasiku Jumapili kwenye youtube na Facebook. Usikose.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant