Avanti il prossimo

Kujazwa Roho Mtakatifu ni kuvikwa mamlaka - Askofu Syvester Gamanywa

1 Visualizzazioni· 06 Agosto 2023
proshabo
proshabo
5 Iscritti
5

Karibu katika Huduma zetu Zitolewazo na BCIC Mbezi Beach, kila siku kuanzia jumatatu hadi ijumaa, utapata huduma ya ushauri wa Kibiblia na Maombezi.

Jumapili kuna ibada ya Kiingereza ambayo huanza saa 1:30 Asubuhi hadi saa 3:30 Asubuhi na kufuatiwa na Ibada kuu ya Kiswahili kuanzania Saa 4:00 Asubuhi hadi saa 7:30 Mchana.

Tanzama ibada live/mubasha kilasiku Jumapili kwenye youtube na Facebook. Usikose.

Mostra di più

 0 Commenti sort   Ordina per


Avanti il prossimo