Inayofuata

MAHOJIANO NA ASKOFU CHARLES JANGALASON (A VERY SPECIAL INTERVIEW WITH BISHOP DR. CHARLES JANGALASON)

4 Kutazamwa· 01 Agosti 2023
proshabo
proshabo
5 Wanafuatilia
5
katika Mahubiri

Askofu Charles Jangalason ni mwanzilishi wa huduma ya HOFAN (Hope for all nations) duniani.

pia ni baba wa huduma nyingi, mshauri wa kinamama, mabinti, vijana wa kiume pia mshauri wa ndoa na masuala ya uchumi.

Lakini pia ni muhubiri wa kimataifa. maelfu ya watu wameokole na kufunguliwa kupia huduma yake.

wasiliana naye;
+255 756 499 999

Onyesha zaidi

 0 Maoni sort   Pangilia kwa


Inayofuata