Bir sonraki

Makosa kumi (10) wanawake ufanya katika ndoa

23 Görünümler· 01 Eylül 2023
proshabo
proshabo
5 Aboneler
5
İçinde Bible Teachings

Nafahamu kuwa mahusiano au ndoa kuyumba kuna sababu nyingi sana. Inaweza kuwa madhaifu ya mume au mke au hata ndugu. Mke au mume wanaweza kuwa wanayajua madhaifu haya au hawayajui kabisa. Bahati mbaya sana, makosa au matatizo yanayosababishwa na wanawake yanaweza kuiathiri ndoa kwa uzito mkubwa kuliko matatizo mengine. Hii ni kutokana na nafasi aliyonayo mke kwenye ndoa. Je unayajua makosa wafanyayo wanawake kwenye ndoa? Fuatilia video hii kwa uelewa zaidi.
#DrChrisMauki#Makosa#Wanawake

Daha fazla göster

 0 Yorumlar sort   Göre sırala


Bir sonraki