Up next

MATUMIZI YA MUDA ULIOSALIA DUNIANI - Askofu Sylvester Gamanywa

2 Views· 06 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

1 PETRO 4:2-5
2 Tangu sasa msiendelee kuishi katika tamaa za wanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu, wakati wenu uliobaki wa kukaa hapa duniani. 3 Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuishi katika uzinzi, tamaa, ulevi, na karamu za kula na kunywa vileo kupindukia, na ibada haramu ya sanamu; 4 mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana. 5 Nao watatoa hesabu kwake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.

#hakunalisilowezekana

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next