MATUMIZI YA MUDA ULIOSALIA DUNIANI - Askofu Sylvester Gamanywa
0
0
2 Kutazamwa·
06 Agosti 2023
katika
Mafundisho ya Biblia
1 PETRO 4:2-5
2 Tangu sasa msiendelee kuishi katika tamaa za wanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu, wakati wenu uliobaki wa kukaa hapa duniani. 3 Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuishi katika uzinzi, tamaa, ulevi, na karamu za kula na kunywa vileo kupindukia, na ibada haramu ya sanamu; 4 mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana. 5 Nao watatoa hesabu kwake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.
#hakunalisilowezekana
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa