Volgende

MITIMINGI # 186 MWANAMKE ANAHITAJI MATUNZO - JE, KWA NINI NI MUHIMU KUMTUNZA MKEO?

3 Bekeken· 10 Augustus 2023
proshabo
proshabo
5 abonnees
5

Wanawake wengi sana walio kwenye ndoa, Mahitaji yao Muhimu wanajigharamikia wenyewe. Jukumu kubwa alilopewa mwanaume ni Kutunza Familia (Mke). Katika kitabu cha 1 Wafalme 2. B. Maandiko yanamuhasa mwanaume kuhusu kutunza familia. "Basi uwe hodari ujionyeshe kuwa Mwanamume". Usipomtunza mkeo nani atakutunzia? Challenge.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Counseling Psychologists +255 713 18 39 39

Laat meer zien

 0 Comments sort   Sorteer op


Volgende