Up next

MITIMINGI # 218 NI AIBU KWA MWANAMKE KUWA MCHAFU - TAMAA YA MWANAUME IPO KWENYE MACHO

3 Views· 10 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

Mwanaume Tamaa yake ipo kwenye macho, Aone ndio avutwe. WAMAMA wengi wakiwa nyumbani kwao hawapendezi, hawawavutii waume zao. Hii inapelekea wanaume wengi kuwakinai wake zao. WAKIENDA NJE, Wanavutiwa na wanawake wa nje. Ni vyema mwanamke ukawa msafi wakati wote USAFI WA NJE na USAFI WA NDANI.

Mch na Mwl Dr. MITIMINGI p. Counseling Psychologist (Speaking at Kitchen Party of BETH) +255 713 18 39 39.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next