MITIMINGI # 244 UNAPOTAKA KUOA/KUOLEWA ANGALIA MTU ATAKAEKUVUTIA WEWE KIROHO NA KIMWILI
0
0
4 Tampilan·
10 Agustus 2023
Di
Orang & Blog
Our God is God of Balance - Mara nyingi vijana wanakumbwa na changamoto pale wanapohitaji kuoa/Kuolewa. Wanasukumwa na baadhi ya vitu tu, vya Rohoni, na kuacha vya mwilini.
Ushauri ni kwamba vijana mnapotaka kuoa/kuolewa unatakiwa ubalance mwili na roho, kwa maana hauendi kuishi na roho mtakatifu bali unaishi na mwili halisi.
Mwisho wa Somo hili - Mwanzo wa somo lingine, ikiwa una shida ya Ushauri wa mahusiano ya wanandoa, wachumba, biashara, N.K. wasiliana nami kwa ... number +255 713 18 39 39
Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist
Menampilkan lebih banyak
0 Komentar
sort Sortir dengan