اگلا

MITIMINGI # 244 UNAPOTAKA KUOA/KUOLEWA ANGALIA MTU ATAKAEKUVUTIA WEWE KIROHO NA KIMWILI

4 مناظر· 10 اگست 2023
proshabo
proshabo
5 سبسکرائبرز
5

Our God is God of Balance - Mara nyingi vijana wanakumbwa na changamoto pale wanapohitaji kuoa/Kuolewa. Wanasukumwa na baadhi ya vitu tu, vya Rohoni, na kuacha vya mwilini.
Ushauri ni kwamba vijana mnapotaka kuoa/kuolewa unatakiwa ubalance mwili na roho, kwa maana hauendi kuishi na roho mtakatifu bali unaishi na mwili halisi.

Mwisho wa Somo hili - Mwanzo wa somo lingine, ikiwa una shida ya Ushauri wa mahusiano ya wanandoa, wachumba, biashara, N.K. wasiliana nami kwa ... number +255 713 18 39 39
Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist

مزید دکھائیں

 0 تبصرے sort   ترتیب دیں


اگلا