Msafara wa Mamba Kenge wakiwa wengi, unakuwa msafara wa Kenge - Askofu Sylvester Gamanywa.
0
0
5 Visningar·
06 Augusti 2023
Hotuba hii ilitolewa kwenye kongomano la umoja wa Mitume na Manabii.
Kongamano hilo lilihudhuriwa na Mh. George Boniface Simbachawene, Waziri wa Mambo ya ndani ya Inchi, Tanzania, na ambae alikuwa mgeni rasimi wa kongamano hilo. Askofu Sylvester Gamanywa alikuwa mmoja wa wananeji wa kogamano hilo.
Visa mer
0 Kommentarer
sort Sortera efter