التالي

MSIKIENI YEYE #1 | TAFSIRI YA MSAMIATI WA KUSIKIA | ASKOFU SYLVESTER GAMANYWA

1 المشاهدات· 06 أغسطس 2023
proshabo
proshabo
5 مشتركين
5

MSIKIENI YEYE.” (MT.17)
TAFSIRI YA MSAMIATI WA KUSIKIA
Msikieni (akoúō) kusikiliza fundisho au kumsikiliza mwalimu
²Kusikia (kusikiliza) sauti ya mungu ambako huzalisha imani ndani ya mwenye kusikiliza. “Na mtu asipowakaribisha wala kuyasikiliza maneno yenu, mtokapo katika nyumba ile, au mji ule, kung’uteni mavumbi ya miguuni mwenu. Amin, nawaambia, itakuwa rahisi nchi ya Sodoma na Gomora kustahimili adhabu ya siku ya hukumu, kuliko mji ule.” (MT.10:14)

أظهر المزيد

 0 تعليقات sort   ترتيب حسب


التالي