Berikutnya

MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: SEMINA YA VIJANA DAR ES SALAAM, JUNE 2022.

2 Tampilan· 06 Agustus 2023
proshabo
proshabo
5 Pelanggan
5

Mwl. Christopher Mwakasege, anakukaribisha ufanye Maombi haya juu ya vijana, Maombi ya Kuokoka na kukata KITOVU cha Kiroho na kutangua Maagano na Viapo Kwenye Maisha Yako na mahali vilipotokea.
Maombi haya ni matokeo ya Semina ya vijana iliyofanyika Dar es salaam june 2022.

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya