Susunod

TRA - Kanisa la Kakobe Linahifadhi Pesa Kwenye Ndoo

6 Mga view· 04 Agosto 2023
proshabo
proshabo
5 Mga subscriber
5

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imebaini mambo matano baada ya kumchunguza Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Followship (FGBF), Zachary Kakobe, ikiwemo kukwepa kodi na kuhifadhi mabilioni ya fedha katika majaba na ndoo.

Taarifa iliyotolewa leo Februari 20 na Kamishna Mkuu wa mamlaka hiyo, Charles Kichere pia imesema Kakobe alimuandikia barua Rais John Magufuli kutokana na matamshi yake kwamba ana fedha nyingi kuliko Serikali, kumuomba radhi.

Magpakita ng higit pa

 0 Mga komento sort   Pagbukud-bukurin Ayon


Susunod