Usimuige Mbuzu.
0
0
4 Tampilan·
01 Agustus 2023
Di
Sermons
Wimbo huu umeimbwa na muimbaji mahiri sana wa kitanzania, ndugu jangalason. Hivyo pia nimeshindwa kujizuia kuweza kusambaza wimbo huu nanyi ili kwa umakini tujifunze yaliyomo ndani ya wimbo huu maana ni wimbo unaogusa na kufundisha sana.
Bwana awabariki wote.
Menampilkan lebih banyak
0 Komentar
sort Sortir dengan