#USIPITWE JUMAPILI HII BCIC MBEZI BEACH - Askofu Sylvester Gamanywa
0
0
2 Kutazamwa·
06 Agosti 2023
katika
Mafundisho ya Biblia
USIPITWE JUMAPILI HII BCIC MBEZI BEACH.
Askofu Sylvester Gamanywa atahitimisha semina ya tabia ya uungu inayajulika kama tunda la Roho, ikiwa ni wiki ya tisa, na Jumapili hii ni sehemu ya tisa ambayo ni tabia ya uungu ya tisa "TABIA YA KIASI"
Usikose Jumapili hii kwenye ibada kuazaia saa 5:00 asubuhi hadi saa 8:00mchana, Ni BCIC Mbezi Beach Jogoo, Dar es Salaam. Watu wote mnakaribishwa bila kujali dini. #USIPITWE JUMAPILI HII.
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa