ASKOFU GAMANYWA AKIELEZA JINSI ALIVOMFAMU DJ STEVE B
0
0
5 Kutazamwa·
06 Agosti 2023
katika
Mafundisho ya Biblia
Mwangalizi mkuu wa Wapo Mission International Bishop Sylvester Gamanywa Alihudhuria katika Ibada ya Mazishi ya kumuaga Aliyekua mshirika wake pamoja na kuhudumu katika Media mbalimbali nchini Steven Mode maarufu kama DJ Steve B iliyofanyeka kaika viwanja vya Leaders Kinondoni Dar es salaam.
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa