Næste

KAKOBE: MIMI NI RAIA WA TANZANIA, ANAYEKATAA ANIAMBIE MIMI NI RAIA WA NCHI GANI

2 Visninger· 04 August 2023
proshabo
proshabo
5 Abonnenter
5

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amewasili idara ya uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam.
Askofu Kakobe amewasili Aprili 9, 2018 saa 4:53 asubuhi katika idara hiyo kwa mahojiano akiwa ameambatana na watu wanne. Wawili wanawake na wawili wanaume

Vis mere

 0 Kommentarer sort   Sorter efter


Næste