Up next

MKUTANO MKUU WA KITAIFA : ASKOFU GAMANYWA AWATAKA WASHIRIKA KUIPOKEA KATIBA MPYA

4 Views· 06 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

Askofu Sylvester Gamanywa azungumza na Wapo TV na Wapo Radio Fm mara baada ya Mkutano Mkuu wa kitaifa wa baraza la Uongozi wa kitaifa wa Taasisi ya Wapo Mission International, uliofanyika leo Tarehe 29-07-2022, makao makuu ya taasisi hiyo yaliyopo Mbezi beach, Jogoo, Jijini Dar es Salaam.

Askofu Gamanywa amewataka washirika wa makanisa ya BCIC kuipokea katiba mpya ya Taasisi ya Wapo Mission International inayosimamia makanisa hayo ya BCIC yaliyopo miji mbali mbali ya Tanzania ikiwemo, Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Dodoma nk.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next