Tiếp theo

MKUTANO MKUU WA KITAIFA : ASKOFU GAMANYWA AWATAKA WASHIRIKA KUIPOKEA KATIBA MPYA

4 Lượt xem· 06 Tháng tám 2023
proshabo
proshabo
5 Người đăng ký
5

Askofu Sylvester Gamanywa azungumza na Wapo TV na Wapo Radio Fm mara baada ya Mkutano Mkuu wa kitaifa wa baraza la Uongozi wa kitaifa wa Taasisi ya Wapo Mission International, uliofanyika leo Tarehe 29-07-2022, makao makuu ya taasisi hiyo yaliyopo Mbezi beach, Jogoo, Jijini Dar es Salaam.

Askofu Gamanywa amewataka washirika wa makanisa ya BCIC kuipokea katiba mpya ya Taasisi ya Wapo Mission International inayosimamia makanisa hayo ya BCIC yaliyopo miji mbali mbali ya Tanzania ikiwemo, Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Dodoma nk.

Cho xem nhiều hơn

 0 Bình luận sort   Sắp xếp theo


Tiếp theo