Bible Teachings

proshabo
2 Views · 1 year ago

proshabo
2 Views · 1 year ago

Katika Kurani, Muhammad anathibitisha kwamba Yesu ni neno la Mwenyezi Mungu akinakili maneno ya utangulizi wa injili ya Yohana. Yesu pia ndiye mtu pekee katika Kurani aliyepewa cheo cha Masihi. Asili yake ya kiroho na ya milele inasisitizwa na maneno yanayoelezea harakati zake ndani ya tumbo la mamake Mariamu. Hizi ni baadhi ya sehemu za kuvutia na kukiri kwa Qur'an kwamba Yesu ni Mungu. Tazama Al Fadi na Ndugu Sam wakifichua kauli hizi za kushangaza kuhusu uungu wa Yesu Kristo katika Kurani.

Video katika lugha ya Kiingereza inapatikana hapa
@https://youtu.be/NbceatcJs9A

proshabo
3 Views · 1 year ago

proshabo
2 Views · 1 year ago

UUNGU WA YESU KRISTO.

Karibu Ukweli Ministries. Sisi ni huduma iliyoitwa na Roho kuhubiri ukweli, na hatutapita wiki bila kuhubiri ukweli kwa roho zilizopotea huko nje. Hili si dhehebu na kamwe hatutajiona kuwa ni dhehebu, lakini Bwana ametuita kurekebisha madhehebu. Kwa neema ya Mungu, tumefundishwa na Yesu Kristo kwamba yeye ndiye Mungu wa pekee wa kweli, mkamilifu katika uumbaji wake. Hatuamini utatu, kwa sababu hautoki kwa Mungu, na tumefundishwa na Mungu kukaa imara kwa kichwa ambacho ni Kristo (Wakolosai 2:19.) Mafundisho yetu yote yamethibitishwa na Mungu aliye juu zaidi. , Kristo Yesu. Na tunahakikisha kwamba hatufundishi chochote ambacho hakitoki kwake. Bwana awape kila mtu ufahamu na subira katika kusoma haya. Amina.

Welcome to Ukweli Ministries. We are a ministry called by the Spirit to preach the truth, and we will not go a week without preaching truth to the lost souls out there. This is not a denomination and we will never consider ourselves to be a denomination, but the Lord has called us to fix denominations. By God's grace, we've been taught by Jesus Christ that he's the one and only true God, perfect in his creation. We do not believe in the trinity, because it does not come from God, and we've been taught by God to stay steadfast to the head which is Christ (Colossians 2:19.) All of our teachings are confirmed by the highest God, Christ Jesus. And we make sure that we do not teach anything that does not come from him. May the Lord give everyone understanding and patience in reading this. Amen.

Social Media:
https://www.facebook.com/ukweliministries/

proshabo
3 Views · 1 year ago

Impacting a Godly Generation

proshabo
2 Views · 1 year ago

Video from Deus Bundala

proshabo
3 Views · 1 year ago

PUMII- Pure Mind ni initiative au kikundi cha kampeni chaa kuelimisha na kusaidia watu wenye mahitaji ya aina tofauti, ikiwemo counselling kwa watu wenye matatizo kama stress, depression nk.

Lakini kubwa zaidi tunashugulika na kuwasaidia watu wenye uraibu mbali mbali kama vile dawa za kulevya na haswa wanaoteshwa na tabia chafu kama tamaa, zinaa, kujizini, filamu chafu, ndoto chafu nk.

Ikiwa wewe ni mtu unayeamini au unatamani / ungependa kuishi katika usafi wa mawazo na ufahamu, kuacha, kushinda au kujiepusha na maisha ya uasherati na mawazo machafu ya zinaa. Uko huru kujiunga na kikundi hiki cha umma, ambapo utasikia mambo yatakayokusaidia kuendelea kuishi maisha safi kama hayo au mambo ambayo yatakusaidia kutoka katika uraibu wowote ikiwa ni pamoja na dawa za kulevya, dhambi za zinaa, mawazo machafu nk.

Tunapatikana kwenye mitandao ya whatsapp na Facebook
WhatApp: https://chat.whatsapp.com/BuyQVrLO2ZK8F0VbLzZQxv

Facebook; https://www.facebook.com/groups/5485706061489310

Tunaamini katika kuja kuwa na ulimwengu safi usio wa zinaa na shida zingine za maisha haya.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Yesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi.

Ungependa kuungana na Mwalimu Huruma Gadi katika kuhakikisha Injili hii inafikia watu wengi:
CHANGIA GHARAMA ZA INJILI KATIKA RADIO HABARI MAALUM (97.7)
CRDB BANK
ACCOUNT NUMBER:0112020439000
JINA LA ACCOUNT: HURUMA MATHEW GADI
AU
MPESA 0764500242
TIGOPESA 0673500242
AIRTEL MONEY 0789500242
JINA: HURUMA GADI


Mfuatilie Mwalimu Huruma Gadi:
Instagram: http://instagram.com/mwalimuhurumagadi
Facebook: http://facebook.com/mwalimuhurumagadi
Twitter: http://twitter.com/mwalimuhurumagadi
Podcast: http://ow.ly/mwalimuhurumagadi

proshabo
3 Views · 1 year ago

Dhambi ya uzizi itaacha machozi machoni pako
MahubiriLeoTv

proshabo
2 Views · 1 year ago

Ebr 12:15
mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
https://linktr.ee/sirizabiblia

Instagram Account
https://www.instagram.com/siri_za_biblia/

SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

proshabo
2 Views · 1 year ago

MWL ELISHA MATHAYO
Instagram: mwl_elishamathayo
Facebook: Mwl Elisha Mathayo
WhatsApp: 0768965179
email:elishamathew4@gmail.com

proshabo
2 Views · 1 year ago

Leo napenda kukuletea mfululizo wa somo ambalo nitakuwa nalifundisha kwa muendelezo lenye kichwa kinacho sema Namna ya kushinda roho ya uharibifu na mauti katika maisha yako.

Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : https://web.facebook.com/gospeltvshow/
Instagram : https://www.instagram.com/chomozanews/
YouTube : http://www.youtube.com/c/Chomo....zaTV?sub_confirmatio
#ChomozaTv#GospelUpdates#2020

proshabo
2 Views · 1 year ago

#InawezekanaKushindaDhambi #ABCGLOBAL

proshabo
1 Views · 1 year ago

Gospel Teachings for soul winning Purpose.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Kujichua ni tatizo ambalo limewakumba watu wengi sana, na madhara yake zaidi yapo kisaikolojia. Sasa karibu sana kwenye somo la leo tuangalie namna sahihi ya kuweza kuepukana na tabia hiii mbaya yenye madhara. Mfuatilie vizuri mwanasaikolojia wetu Kalungu akifafanua kwa kina.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA KALUNGU:
Stress Counsellor & Career consultant
Instagram: @kalungu_psychomotive
Twitter: @kalunguPsychomotive
Facebook: Kalungu Psychomotive
Phone : (+255) 755 256 039
Youtube: https://www.youtube.com/channe....l/UCaUnj1nUn8Dm8A1rk
.
HAMASA YA LEO👇🏽
http://youtube.com/hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
https://www.youtube.com/channe....l/UCOfv3yx9Xbq5hqbrO
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
https://www.youtube.com/channe....l/UCdkOcHpLVsxSvgNYB
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
http://swahilivoiceover.com
.
KUJIUNGA GROUP LA VITABU:
- Pata faida za kwenye vitabu kila wiki.
- Jifunze kwa audio zenye quality nzuri.
- Kama huna muda wa kusoma "jiunge fasta"
Tuma ujumbe huu "SPN BOOK CLUB"
Kwenda whatsApp No. 0759 191 076
Ada ya group hili: 2,000 TZS kwa wiki.
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: voiceoverswahili@gmail.com
.
.
.
#Kalungu #kuacha #kujichua

proshabo
1 Views · 1 year ago

TANGU KIPINDI CHA YOHANA MBATIZAJI HATA SASA, UFALME WA MUNGU HUPATIKANA KWA NGUVU, NAO WENYE NGUVU NDIO WANAOUTEKA.
CHANNEL HII ITAKUSAIDIA KUKUPA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU AMBAYO YATAKUTIA NGUVU ITAKAYO KUFANYA UWEZE KUUTEKA UFALME ULE BWANA ALIOTUAHIDIA.
TUNATUMIA DAKIKA CHACHE SANA KATIKA KUKUFUNDISHA MANENO YA MUNGU NA HUTALIPIA GHARAMA YOYOTE KUYAPATA MAFUNDISHO HAYA ISIPOKUWA NI Mb ZAKO TU KATIKA SIMU YAKO.

Subscribe to this channel for more videos.

Pia unaweza kutembelea website yetu kwa kubonyeza link hapo chini.
www.dinuzenogospelday.com

proshabo
4 Views · 1 year ago

Hiki ni moja kati ya viapo alivyovifanya ayubu na kikamsaidia kuweza kushinda dhambi ya uzinzi na kuweza kuishi maisha yampendezayo mungu amen.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Leo Mwalimu anatufundisha KUJAA ROHO MTAKATIFU ni siri ya Yesu kushinda dhambi alivyokuwa hapa duniani.

Ungependa kuungana na Mwalimu Huruma Gadi katika kuhakikisha Injili hii inafikia watu wengi:
CHANGIA GHARAMA ZA INJILI KATIKA RADIO HABARI MAALUM (97.7)
CRDB BANK
ACCOUNT NUMBER:0112020439000
JINA LA ACCOUNT: HURUMA MATHEW GADI
AU
MPESA 0764500242
TIGOPESA 0673500242
AIRTEL MONEY 0789500242
JINA: HURUMA GADI


Mfuatilie Mwalimu Huruma Gadi:
Instagram: http://instagram.com/mwalimuhurumagadi
Facebook: http://facebook.com/mwalimuhurumagadi
Twitter: http://twitter.com/mwalimuhurumagadi
Podcast: http://ow.ly/mwalimuhurumagadi

proshabo
2 Views · 1 year ago

Yesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi.

Ungependa kuungana na Mwalimu Huruma Gadi katika kuhakikisha Injili hii inafikia watu wengi:
CHANGIA GHARAMA ZA INJILI KATIKA RADIO HABARI MAALUM (97.7)
CRDB BANK
ACCOUNT NUMBER:0112020439000
JINA LA ACCOUNT: HURUMA MATHEW GADI
AU
MPESA 0764500242
TIGOPESA 0673500242
AIRTEL MONEY 0789500242
JINA: HURUMA GADI


Mfuatilie Mwalimu Huruma Gadi:
Instagram: http://instagram.com/mwalimuhurumagadi
Facebook: http://facebook.com/mwalimuhurumagadi
Twitter: http://twitter.com/mwalimuhurumagadi
Podcast: http://ow.ly/mwalimuhurumagadi

proshabo
2 Views · 1 year ago

Bwana Yesu ameahidi kutupa nguvu kwa ujio wa Roho wake Mtakatifu juu yetu.

"Hata alipokuwa amekutana nao aliwaagiza wasitoke Yerusalemu, bali waingoje ahadi ya Baba, ambayo mlisikia habari zake kwangu; ya kwamba Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu baada ya siku hizi chache. -
Basi walipokutanika, wakamwuliza, wakisema, Je! Bwana, wakati huu ndipo unapowarudishia Israeli ufalme? Akawaambia, Si kazi yenu kujua nyakati wala majira, Baba aliyoyaweka katika mamlaka yake mwenyewe. Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi" #Matendo 1:4-8

Barikiwa kwa ujumbe huu

proshabo
3 Views · 1 year ago

SEMINA YA NENO LA MUNGU.KILIMANJARO 2022 DAY 2.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Click Here: https://bit.ly/3aLVBZZ


JINSI YA KUSHINDA ROHO YA UZINZI NA UASHERATI - kipindi cha 3 (Na. Askofu Dr. Fredrick Simon)







#mahubiri #fredricksimon #pcct #uzinzi #uasherati

proshabo
2 Views · 1 year ago

Yesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi.

Ungependa kuungana na Mwalimu Huruma Gadi katika kuhakikisha Injili hii inafikia watu wengi:
CHANGIA GHARAMA ZA INJILI KATIKA RADIO HABARI MAALUM (97.7)
CRDB BANK
ACCOUNT NUMBER:0112020439000
JINA LA ACCOUNT: HURUMA MATHEW GADI
AU
MPESA 0764500242
TIGOPESA 0673500242
AIRTEL MONEY 0789500242
JINA: HURUMA GADI


Mfuatilie Mwalimu Huruma Gadi:
Instagram: http://instagram.com/mwalimuhurumagadi
Facebook: http://facebook.com/mwalimuhurumagadi
Twitter: http://twitter.com/mwalimuhurumagadi
Podcast: http://ow.ly/mwalimuhurumagadi

proshabo
3 Views · 1 year ago

Unaweza ukawa umehangaika sana na KUSHINDA dhambi ,KUSHINDA Tabia CHAFU ,Uovu,n.k

Lakini Nakupa Siri hii Muhimu,
YESU KRISTO NDIYE PEKEE AWEZAE KUKUPA USHINDI DHIDI YA DHAMBI N UOVU WOTE!

Imeandikwa *"Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao"* Mathayo 1:21

Neema ya Kristo Yesu ndio MAISHA yetu,HURU mbali na Dhambi.

Unachopaswa WEWE ni KUMWAMINI YESU Kristo katika Kweli,na MWOKOZI wako!

Yeye ameshalipia,laana na dhambi zetu zote ,Ili tuhesabiwe Haki katika yeye Mbele za Baba Mungu!
 "Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti"
Warumi 8;2

Neema ya Mungu Inatutosha!

proshabo
3 Views · 1 year ago

Yesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi.

Ungependa kuungana na Mwalimu Huruma Gadi katika kuhakikisha Injili hii inafikia watu wengi:
CHANGIA GHARAMA ZA INJILI KATIKA RADIO HABARI MAALUM (97.7)
CRDB BANK
ACCOUNT NUMBER:0112020439000
JINA LA ACCOUNT: HURUMA MATHEW GADI
AU
MPESA 0764500242
TIGOPESA 0673500242
AIRTEL MONEY 0789500242
JINA: HURUMA GADI


Mfuatilie Mwalimu Huruma Gadi:
Instagram: http://instagram.com/mwalimuhurumagadi
Facebook: http://facebook.com/mwalimuhurumagadi
Twitter: http://twitter.com/mwalimuhurumagadi
Podcast: http://ow.ly/mwalimuhurumagadi

proshabo
3 Views · 1 year ago

2 Nyakati 7:15
Sasa macho yangu yatafumbuka, na masikio yangu yatasikiliza maombi ya watu waombao mahali hapa.

Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
https://linktr.ee/sirizabiblia

Instagram Account
https://www.instagram.com/siri_za_biblia/

SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

proshabo
2 Views · 1 year ago

#KushindaDhambi #Inawezekana

proshabo
2 Views · 1 year ago

Ni katika mkutano wa injili wa makanisa ya EAGT Kanda ya Kusini Mwanza, yaliyofanyika uwanja wa Buhongwa Jijini Mwanza!

proshabo
3 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079

proshabo
2 Views · 1 year ago

ASKOFU MOSES KULOLA ALIUBILI JIJINI MWANZA MWAKA 2002
SYLAS TV IPO KWAJILI YAKO




Showing 20 out of 21