Bible Teachings

proshabo
1 Views · 1 year ago

Askofu Zakaria Kakobe aliposhiriki hafla ya kupokea ndege mpya na kutoa hotuba mbele ya Mheshimiwa Rais Magufuli

proshabo
4 Views · 1 year ago

For more visit: http://www.bishopzacharykakobe.org
This is part of what happened at the Lusaka Great Miracle Healing Crusade Zambia 2010, conducted by Bishop Zachary Kakobe. Here Bishop Kakobe commands demons to come out of the oppressed people, with extraordinary authority, and they obey. This is one of the factors which made the Crusade to be of so much interest to the Pastors of Zambia.

proshabo
3 Views · 1 year ago

Askofu kakobe, #askofu #Zachary #kakobe

proshabo
2 Views · 1 year ago

For more: http://www.bishopzacharykakobe.org
This is Part two(2) of Bishop Zachary Kakobe's ministry in Miracle Crusade Burundi.
Bishop Kakobe's Miracle Crusade at F.F.B Stadium was unprecedented. The Stadium was so packed to the extent that people were refused entry into the stadium. Some of the sick people were brought by ambulances and the National Anthem was sung before Bishop Kakobe preached from the pulpit.
The Chairman of the Bishops Organizing Committees for the Burundi Revival Mission invites the First Lady of Burundi to officially welcome Bishop Kakobe to the country of Burundi.

proshabo
2 Views · 1 year ago

For more visit: http://www.bishopzacharykakobe.org
Bishop Zachary Kakobe made his first Apostolic Mission to Korea in 2006 by invitation from one of the most popular Crusade Organizers in Korea, the KOREA REVIVAL MISSION. The leaders of the Korea Revival Mission include Pastor David Yonggi Cho, who is the Senior Pastor of YOIDO FULL GOSPEL CHURCH, the biggest church in the world; and Pastor Ra Kyum Ill who is the Senior Pastor of the JU AN PRESBYTERIAN CHURCH, the largest Presbyterian church in the world and also one of the ten biggest churches worldwide. Watch this clip and see what transpired in that mission.

proshabo
2 Views · 1 year ago

NANI NILIYEMDHURUMU ?

proshabo
1 Views · 1 year ago

Askofu Kakobe akizungumzia video chafu inayumuhusu Askofu Gwajima

proshabo
1 Views · 1 year ago

#Askofu #Zachary #Kakobe ni Askofu Mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, endelea kupata chakula cha kiroho kutokea hapa, waambie na rafiki zako wabonyeze mahali pameandikwa #Subscribe

proshabo
1 Views · 1 year ago

Kazi ya millardayo.com na AyoTV ni kukusogezea habari zote muhimu kila saa kwa saa 24 ambapo Kinachoandikwa na Magazeti ya Tanzania ni moja ya vitu vikubwa ambavyo unasogezewa kila asubuhi

proshabo
2 Views · 1 year ago

KAKOBE Kuhusu VIDEO ya GWAJIMA, Amtaja MAKONDA Hadharani

Ni ibada maalum inafanyika Jumapili ya leo ya Mei 12, katika kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima, lililopo Ubungo jijini Dar...

Katika ibada ya leo Askofu Gwajima amewaalika wachungaji na maaskofu wengine akiwemo Askofu Zakaria Kakobe, Komando Mashimo na wengine wengi...

#ASKOFUGWAJIMA #KAKOBE

https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:

www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

proshabo
2 Views · 1 year ago

Bishop Zachary Kakobe

proshabo
2 Views · 1 year ago

KONGAMANO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI, UCHUMI WA VIWANDA

Ni kongamano maalum kuelekea Uchaguzi, Uchumi wa Viwanda, Amani, Mahusiano, Uzalendo na Ustawi wa Taifakatika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar ambapo Naibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara amehudhuria katika Kongamano hilo akimwakilisha Makamu wa Rais Samia Suluhu.

YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)

---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
https://www.youtube.com/playlist?list...

HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
https://www.youtube.com/playlist?list...

GLOBAL RADIO TV:
https://www.youtube.com/playlist?list...

EXCLUSIVE INTERVIEWS:
https://www.youtube.com/playlist?li

proshabo
2 Views · 1 year ago

Askofu Zacharia Kakobe amesisitiza waumini na wananchi kwa ujumla kufuata njia sahihi za kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa corona.

proshabo
3 Views · 1 year ago

Askofu Kakobe ajibu mapigo TRA, ashangazwa barua yake na JPM kuwekwa hadharani, asema walichofanya ni sawa ma 'ushilawadu', Muhongo ajikita kivingine, Mbowe kuongoza mazishi ya diwani, Hatima ya Sugu leo..., Bofya kutazama habari zote zilizopewa uzito katika magazeti ya Tanzania leo Februari 26, 2018.

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media

proshabo
2 Views · 1 year ago

#Askofu #Zachary #Kakobe ni Askofu Mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, endelea kupata chakula cha kiroho kutokea hapa, waambie na rafiki zako wabonyeze mahali pameandikwa #Subscribe

proshabo
4 Views · 1 year ago

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imebaini mambo matano baada ya kumchunguza Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Followship (FGBF), Zachary Kakobe, ikiwemo kukwepa kodi na kuhifadhi mabilioni ya fedha katika majaba na ndoo.

Taarifa iliyotolewa leo Februari 20 na Kamishna Mkuu wa mamlaka hiyo, Charles Kichere pia imesema Kakobe alimuandikia barua Rais John Magufuli kutokana na matamshi yake kwamba ana fedha nyingi kuliko Serikali, kumuomba radhi.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship la Tanzania Zakary Kakobe amesema kuwa haogopi kuhojiwa juu ya uraia wake sababu yeye si mhalifu na ni raia kamili wa taifa hilo.

proshabo
2 Views · 1 year ago

BENDI ZA SHULE ZA SEKONDARI
Mkwawa Jazz Band katika mtindo wao wa Ligija.Bendi hii ilikuwa moja ya bendi mbili za wanafunzi waliokuwa wakisoma Mkwawa High School kati ya mwaka 1969 na 1971. Kila Jumapili mchana bendi hizi mbili ziliporomosha muziki katika mfumo uliojulikana kama bugi, katika ukumbi wa Community Center pale Iringa. Bugi lilikuwa dansi lililoruhusu wanafunzi na watoto wadogo kufaidi dansi. Dansi lilianza saa nane mchana na kibali cha bugi kiliisha saa kumi na mbili kamili, pombe zilikuwa marufuku wakati wa bugi. Katika miaka hiyo shule za sekondari nyingi zilikuwa na bendi na bendi hizi nyingine zilikuja kuwa maarufu na hata kuja kutoa wanamuziki maarufu sana. Na kwa kuwa kulikuwa na utaratibu mzuri wanafunzi wengi waliokuwa wanamuziki wakati huo walikuja kuendelea na kuwa watu muhimu katika nyanja mbalimbali kitaifa. Kwa mfano katika bendi hiyo ya Mkwawa iliyoimba na hata baadae kurekodi wimbo wangu wa leo, wanamuziki wake wote walikuja kuwa watu wenye nafasi muhimu Kitaifa. Mpiga solo Sewando alikuja kuwa mwalimu wa ‘electronics’ chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na pia ndie alikuja kuwa mwanzilishi wa bendi ya TZ Brothers. Sewando ambaye mwanae sasa ni producer maarufu wa muziki wa ‘kizazi kipya’, alianza muziki akiwa Kwiro Secondary ambako nako kulikuwa na bendi iliyowahi kurekodi nyimbo maarufu wakati huo, na hata kuwa chanzo cha baadhi ya mitindo iliyotumiwa na Morogoro Jazz band. Sewando alianza kupenda electronics wakati huo, na kuwa fundi wa vyombo vya bendi yake ya shule kiasi cha kupata jina la ‘The Mad Scientist’. Masanja alikuwa mpiga rhythm wakati huo na hatimae alikuja kuwa rubani wa ndege. John Mkama aliyepiga bezi alikuja kuwa mwandishi wa habari mahiri. Manji aliyepiga rhythm pia alikuja kuwa mhandisi wa ndege, na miaka mchache iliyopita alianzisha bendi iliyoitwa Chikoike Sound, na kwa sasa ana shule nzuri ya muziki Tabata, Dar es Salaam wakati muimbaji Danford Mpumilwa ni mwandishi maarufu, nae pia ndie alikuwa mwanzilishi wa bendi ya Serengeti ya Arusha. Mpiga tumba katika wimbo huo ni kiongozi maarufu wa dini mwenye wadhifa wa Askofu Mkuu. Hivyo kushiriki katika muziki hakukuwafanya wanamuziki hawa waishie kuwa wahuni au walevi walioharibikiwa kimaisha au kushindwa kuendelea ma masomo. Bendi ya pili ya Mkwawa Secondary ilikuwa ikipiga muziki wa kizungu na hasa wa mtindo wa soul. Bendi hii iliitwa ‘The Midnight Movers’ ikiwa na wanamuziki kama Kafumba, Martin Mhando. Hans Poppe, Deo Ishengoma, amboa waliohai ni watu wenye nyadhifa muhimu katika jamii. Kuwa mwanamuziki hakukuwa tiketi ya kuwa muhuni. Kama nilivyosema shule nyingi za sekondari zilikuwa na bendi, pale Dodoma Secondary kulikuwa na bendi kiongozi wa bendi hii alikuwa Patrick Balisidya aliyekuja kuwa mwanamuziki maarufu alipokuja kuanzisha Afro 70.

proshabo
10 Views · 1 year ago

“Kwa nini tukusifie wakati tunalipa kodi…sifa sifa zote hizi za nini? - Askofu wa Full Gospel Bible Fellowship, Zakaria Kakobe afunguka ya moyoni mbele ya Rais Magufuli.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Siku chache zilizo pita Askofu Kakobe aliwajia juu Manabii wenye ibada za kukanyaga mafuta na kusema ni ibada zisizo kuwepo kwenye Maandiko ya Biblia nahuo ni upotoshaji. Manabii wamjibu yeye ni nani awajie juu.
#ChomozaUpdate #Chomoza2019 #Chomozanews

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma Kasheku, amefunguka kwamba Askofu Kakobe ni mfanya mazingaombwe na hata akimuombea hawezi kuanguka..

proshabo
4 Views · 1 year ago

Hakika Jina la BWANA WETU YESU KIRISTO libarikiwe milele. Tunakuletea mafundisho ya uzima yatakayokutoa sehemu moja kukupeleka sehemu nyingine kwa habari ya ufalme wa Mungu .

kwa mawasiliano
herickanthony70@gmail.com
+255743443230

proshabo
1 Views · 1 year ago

Mchungaji Pastori Rwakasoto amemjia juu Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe kutokana na kauli yake aliyoitoa kuhusu mafuta na maji yaliyoombewa na kutumiwa na waumini.

proshabo
2 Views · 1 year ago

CORONA: ASKOFU KAKOBE AWAPIMA WAUMINI KABLA YA KUINGIA KANISANI, ONA ILIVYOKUWA...

KUFUATIA ongezeko la wagonjwa wa Corona nchini, Mchungaji wa kanisa la Full Gospel, Zacharia Kakobe, ameweka utaratibu wa kuwapima watu joto la mwili kabla ya kuingia kanisani.

UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE

(+255 784 888982)

(+255 676 229628)

Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com

HABARI MPYA DAILY:
http://bit.ly/habarimpya


HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua

GLOBAL RADIO TV:
http://bit.ly/255globalradio

EXCLUSIVE INTERVIEW:
http://bit.ly/exclusive_interviews

Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania

Subscribe http://bit.ly/globaltvonline

proshabo
2 Views · 1 year ago

Askofu Mkuu Zachary Kakobe amefundisha kwa kina kuwa Chanjo ya Corona siyo Chapa 666
@bishopkakobe

proshabo
1 Views · 1 year ago

KAKOBE TENA! "WATU WANATAKA INTERNET MAISHA YAENDELEE", AWATULIZA UPINZANI...

askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Zachary Kakobe amekuwa miongoni mwa viongozi wa Dini waliohudhuria katika Kongamano la Amani la Kumshukuru Mungu kwaajili ya Uchaguzi kumalizika salama lililofanyika jijini Dar es Salaam....

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com

⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline




Showing 45 out of 46