Bible Teachings

proshabo
2 Views · 1 year ago

#Askofu #Zachary #Kakobe ni Askofu Mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, endelea kupata chakula cha kiroho kutokea hapa, waambie na rafiki zako wabonyeze mahali pameandikwa #Subscribe

proshabo
3 Views · 1 year ago

Sehemu ya mwisho ya somo la MAVAZI YA KIKAHABA na Askofu Zachary Kakobe.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Askofu Mkuu wa kanisa la Full Gospel Bibble Fellowship, Zachary Kakobe amesema kua video ya ngono inayodaiwa kumuonesha Askofu Mkuu wa makanisa ya fufuo na uzima Josephat Gwajima video hiyo ni feki na imetengenezwa na wanaofanya biashara ya kufarakanisha watu.

proshabo
1 Views · 1 year ago

BAADA ya kiongozi wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Askofu Zacharia Kakobe kudai ana fedha nyingi kuliko Serikali, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imejipanga kuanza kufuatilia ulipaji wake wa kodi. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea).

Kamishna Mkuu wa TRA, Charles Kichere amesema mamlaka yake imeipokea kwa furaha kauli ya Askofu Kakobe na inataka kujiridhisha vyanzo vya utajiri huo.

Kichere amesema TRA inafahamu kuwa shughuli za kidini hazitozwi kodi lakini inataka kufahamu kama fedha hizo za Askofu Kakobe zinatokana na sadaka pekee au kuna shughuli nyingine za kiuchumi.

Endelea kusoma MwanaHALISI Online kupitia: http://mwanahalisionline.com/
Usisahau kama haujasubscribe channel yetu ya YouTube bonyeza sehemu iliyoandikwa Subscribe ili uwe wakwanza kupata taarifa kutoka MwanaHALISI TV.

proshabo
2 Views · 1 year ago

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mwendelezo wa masomo ya MAVAZI YA KIKAHABA sehemu ya 7 na Askofu zachary Kakobe.

proshabo
1 Views · 1 year ago

NENO LA MSINGI
Mithali 7:10
Na tazama, mwanamke akamkuta, Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;

Proverbs 7:10
Behold, there a woman met him with the attire of a prostitute, and with crafty intent.
#Askofu #Zachary #Kakobe ni Askofu Mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, endelea kupata chakula cha kiroho kutokea hapa, waambie na rafiki zako wabonyeze mahali pameandikwa #Subscribe

proshabo
1 Views · 1 year ago

Askofu Kakobe wa Makanisa ya Full Gospel Bible Fellowship(FGBF) anasema hakuna wa kumuhonga, majani ya chai yanayotumika IKULU ni yale yale yanayolimwa Mufindi hayana dhahabu ndani, hata pesa anazo kuliko Serikali. Waziri akitaka aende atamkopesha!

proshabo
2 Views · 1 year ago

#Askofu #Zachary #Kakobe ni Askofu Mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, endelea kupata chakula cha kiroho kutokea hapa, waambie na rafiki zako wabonyeze mahali pameandikwa #Subscribe

proshabo
2 Views · 1 year ago

Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1
Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible fellowship (FGBF) Zakary Kakobe amesema hahofii kuchunguzwa na serikali kuhusiana na ukwasi anaoumiliki na kuongeza kuwa fedha alizonazo ni Zaidi ya fedha zinazomilikiwa na serikali nyingi Duniani.

Akizungumza wakati wa ibada ya Jumapili kanisani hapo Askofu Kakobe amesema kuwa, hana wasiwasi wa kuchunguzwa utajiri wake na kuongeza kuwa kwa sasa anamiliki pesa nyingi Zaidi ya serikali ya China na Marekani.
Insert...Askofu Zakary Kakobe –Askofu Mkuu, Full Gospel Bible Fellowship

Askofu Kakobe pia amewajibu watu wote waliokuwa wakihoji kuhusiana na uraia wake.

Wiki iliyopita askofu Kakobe akihubiri wakati wa mkesha wa sikukuu ya Christmas alidai kuwa yeye ni tajiri zaidi ya serikali ya Tanzania na haogopi kusema ukweli.
FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli..

proshabo
0 Views · 1 year ago

UNGANA NA SHALOM TV KUPITIA.... http://www.youtube.com/c/BishopSylvesterGamanywa UNAWEZA KU-SUBSCRIBE ILI UWE WA KWANZA KUPATA MAFUNDISHO MBALIMBALI YA KIROHO NA KIMWILI!

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kuwa serikali ina haja ya kutathmini upya uhalali wa baadhi ya madhehebu ya dini ili kuhakikisha eneo hilo linabaki kutekeleza jukumu lake la msingi badala ya kile alichokiita kufanya siasa.

Kauli hiyo inafuatia baada ya Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Zachary Kakobe, kutoa kauli zinazomuhusisha Rais John Magufuli na kumtaka atubu.

Katika mazungumzo yake na vyombo vya habari, Gambo amesema kuwa ni vyema Askofu Zachary Kakobe angejitathmini kabla ya kutoa kauli zinazomuhusu Rais Magufuli.

proshabo
3 Views · 1 year ago

ASKOFU KAKOBE - "POLISI WAMEKUWA SOFT, HAIJAWAHI KUTOKEA, KAMA SIO TANZANIA VILE"

KAMATI ya amani nchini inayoundwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini zote mbili, wamekutana na kuzungumza juu ya kuilinda amani yetu hasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu...

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com

⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

proshabo
1 Views · 1 year ago

“…Umewahi kutuambia kwamba unashindwa kulala kwa sababu kitanda kimejaa mafaili…lakini leo tunakusihi…hebu jipongeze ulale....bila shaka utalala leo eee…” – kauli ya Askofu wa Full Gospel Bible Fellowship, Zakaria Kakobe aliyoitoa wakati wa hafla ya kuipokea ndege ya pili ya Airbus A220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

proshabo
4 Views · 1 year ago

Mkuu wa Mkoa wa DSM Mhe. Paul Makonda, tarehe 26/12/2018 aliwaalika Wachungaji na Maaskofu wa madhehebu ya dini ya Kikristo nchini na hili ndio neno la Askofu Kakobe kwa Paul Makonda.....tazama hapa.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Askofu Kakobe ampa somo Rais Magufuli, amweleza siri ya mataifa makubwa kufanikiwa. " Umeanza vyema Rais Magufuli."

Ni katika hafla ya makabidhiano ya Mfumo mpya wa kusimamia uwazi katika mawasiliano ya simu.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Maisha ya mtumishi wa Mungu ni ya msingi sana kuyachunguza. Yesu akasema Mwanafunzi hampiti mwalimu wake ila akihitimu hulingana na mwalimu huyo. Luka 6;40 tena kiongozi akishindwa kwa upofu wake na kuingia shimoni mlio nyuma yake bila kujali mnaona au la, maadam mnaongozwa na huyo kipofu wote ni katika shimo la Jehanam ya moto Mathayo 15;14.
Usipuuze kwa chochote anachosemewa kiongozi wako kiroho. Fuatilia ukweli kuhusu hayo kisha chukua hatua. kama yana ukweli na hayafai kuwa kielelezo achana na kiongozi huyo ila kama ni kielelezo cha maisha ya usafi na utakatifu simama pamoja naye katika yote anayonenewa na mwisho utavuna pamoja naye.
fuatilia maisha ya Mtumishi huyu wa Mungu uone kisha chukua hatua. Mungu akubariki.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Msimu huu wa Ksrismas karibu katika duka la Pure Gold Mwanza ujipatie bidhaa mbalimbali za vito ikiwemo pete za dhahabu halisi. Duka lipo Rock City Mall ghorofa ya kwanza ama piga simu 0752 48 06 05.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amewasili idara ya uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam.
Askofu Kakobe amewasili Aprili 9, 2018 saa 4:53 asubuhi katika idara hiyo kwa mahojiano akiwa ameambatana na watu wanne. Wawili wanawake na wawili wanaume

proshabo
3 Views · 1 year ago

"Haijawahi kutokea kuwa na Rais na Serikali yake ambao wameheshimu viongozi wa dini kama wewe," - Kali ya Askofu Kakobe akieleza namna yeye na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wakiteta jinsi Rais Magufuli anavyoheshimu viongozi wa dini.

Ni katika hafla ya makabidhiano ya Mfumo mpya wa kusimamia uwazi katika mawasiliano ya simu.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Askofu Kakobe Mbele ya Magufuli "Wewe ni Shujaa"

Miongoni mwa viongozi wa dini waliohudhuria katika mkutano wa wachimbaji , wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini uliofanyika leo Januari 22, katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu J.K Nyerere - Dar, Ni Askofu Zakari Kakobe kutoka kanisa la Full Gospel Bible fellowship.

Askofu Kakobe akapata wasaa wa kutoa neno la Mungu kwa ajili ya kuongoza kikao hicho na akachomekea pongezi zake kwa Rais Magufuli kutokana na juhudi kubwa anazozifanya katika kuboresha sekta ya madini.

#AskofuKakobe

Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter

www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Hakika Mungu wetu ni mwema hata sasa , katika Maombi yako mtu Mungu popote pale ulipo usisahau kuombea channel hii ya Kiroho. Msingi mkuu wa hii channel ni UTAKATIFU NA HAKI , Mstari unaongoza hii channel ni WAEBRANIA 12:29, Sambaza ( share ) neno hill kadiri Roho mtakatifu atakavyokuongoza kwa watu mbalimbali hakika utakuwa sehemu ya huduma hii

Email: herickanthony70@gmail.com
phone: + 255743443230




Showing 46 out of 47