Up next

Askofu Kakobe ahojiwa na Uhamiaji

1 Views· 04 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

ASKOFU KAKOBE AHOJIWA NA UHAMIAJI - Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) Zachary Kakobe ameitikia wito wa idara ya uhamiaji mkoa wa Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano kuhusiana na uraia wake.
Mara baada ya mahojiano hayo Askofu Kakobe amewaambia waandishi wa habari waliokuwepo nje ya ofisi hizo kuwa hana wasiwasi na uraia wake kwani anatambua kuwa yeye ni Mtanzania na kwamba mwaka 1974 alijiunga na kupewa mafunzo ya jeshi, hivyo kinachofanywa na Idara ya Uhamiaji ni utekelezaji wa majukumu yao ya kazi.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next