تا بعدی

Askofu Kakobe ahojiwa na Uhamiaji

2 بازدیدها· 04 مرداد 2023
proshabo
proshabo
5 مشترکین
5
که در Bible Teachings

ASKOFU KAKOBE AHOJIWA NA UHAMIAJI - Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) Zachary Kakobe ameitikia wito wa idara ya uhamiaji mkoa wa Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano kuhusiana na uraia wake.
Mara baada ya mahojiano hayo Askofu Kakobe amewaambia waandishi wa habari waliokuwepo nje ya ofisi hizo kuwa hana wasiwasi na uraia wake kwani anatambua kuwa yeye ni Mtanzania na kwamba mwaka 1974 alijiunga na kupewa mafunzo ya jeshi, hivyo kinachofanywa na Idara ya Uhamiaji ni utekelezaji wa majukumu yao ya kazi.

بیشتر نشان بده، اطلاعات بیشتر

 0 نظرات sort   مرتب سازی بر اساس


تا بعدی