Askofu Kakobe amfagilia Rais Magufuli,
0
0
26 مناظر·
04 اگست 2023
میں
Bible Teachings
Askofu Zachary Kakobe ameonyesha kufurahishwa na utendaji kazi mzuri wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Akiongea wakati wa kuipokea ndege mpya Ijumaa hii aina ya AIRBUS A220 - 300 katika uwanja wa ndege wa JK Nyerere, Kakobe amesema yeye huwa ni mbishi sana kukubaliana na mambo lakini kwa uytendaji kazi mzuri wa Rais amemkubali ni dereva mzuri.
مزید دکھائیں
0 تبصرے
sort ترتیب دیں