Up next

ASKOFU KAKOBE AWAAMBIA CHADEMA PAMBANENI NA HALI ZENU WENYEWE SISI TUNAKULA BATA IKULU!

2 Views· 04 August 2023
proshabo
proshabo
5 Subscribers
5

Maneno ya Askofu Kakobe akionyesha kusikitishwa na Viongozi wa Chadema ambao wamewatukana viongozi wa dini na hivyo kuwavunja moyo Kuendelea kuwasaidia katika mkwamo wa kisiasa walio nao.Pia amewaambia Njia ya namna ya kumuendea Rais wa nchi kutoka katika hali ya mkwamo wa kisiasa walio nayo.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next