Следующий

ASKOFU KAKOBE AWAAMBIA CHADEMA PAMBANENI NA HALI ZENU WENYEWE SISI TUNAKULA BATA IKULU!

2 Просмотры· 04 Август 2023
proshabo
proshabo
5 Подписчики
5

Maneno ya Askofu Kakobe akionyesha kusikitishwa na Viongozi wa Chadema ambao wamewatukana viongozi wa dini na hivyo kuwavunja moyo Kuendelea kuwasaidia katika mkwamo wa kisiasa walio nao.Pia amewaambia Njia ya namna ya kumuendea Rais wa nchi kutoka katika hali ya mkwamo wa kisiasa walio nayo.

Показать больше

 0 Комментарии sort   Сортировать по


Следующий