अगला

BREAKING: Kauli ya Askofu Kakobe baada ya kutoka kuhojiwa Uhamiaji

3 विचारों· 04 अगस्त 2023
proshabo
proshabo
5 ग्राहकों
5
में Bible Teachings

Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Idara ya Uhamiaji, ilimwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe kumtaka afike katika ofisi za Idara hiyo kwa ajili ya mahojiano.
Sasa leo April 9 2018 Askofu huyo ameripoti katika ofisi hizo za Uhamiaji DSM kwa ajili ya kuhojiwa na baada ya hapo akapata nafasi ya kuzungumza na waandishi wa habari

और दिखाओ

 0 टिप्पणियाँ sort   इसके अनुसार क्रमबद्ध करें


अगला