BREAKING: Kauli ya Askofu Kakobe baada ya kutoka kuhojiwa Uhamiaji
0
0
4 Lượt xem·
04 Tháng tám 2023
Trong
Bible Teachings
Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Idara ya Uhamiaji, ilimwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe kumtaka afike katika ofisi za Idara hiyo kwa ajili ya mahojiano.
Sasa leo April 9 2018 Askofu huyo ameripoti katika ofisi hizo za Uhamiaji DSM kwa ajili ya kuhojiwa na baada ya hapo akapata nafasi ya kuzungumza na waandishi wa habari
Cho xem nhiều hơn
0 Bình luận
sort Sắp xếp theo